Accueil Podcasts Afrika Ya Mashariki
Afrika Ya Mashariki

Afrika Ya Mashariki

RFI Kiswahili 24 Épisodes sept. 11, 2026

Kipindi hiki cha Afrika ya Mashariki kinatoa taarifa na elimu kuhusu changamoto za maisha za wananchi wa Afrika Mashariki na eneo la maziwa makuu. Wapendwa wa kipindi wanapata nafasi ya kutoa mawazo yao na kusikiliza wataalamu mbalimbali. Lengo ni kuwasaidia kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.

Épisodes

EAC: Kesi za kisiasa au utawala wa kisheria
EAC: Kesi za kisiasa au utawala wa kisheria sept. 11, 2026 00:09:59 Katika kipindi cha miaka ya karibuni, viongozi wa upinzani katika nchi mbalimbali za Afrika Mashariki wameendelea kujikuta mahakamani wakikabiliwa na tuhuma mbalimbali zikiwemo uhaini.  katika Makala ya Afrika Mashariki, tunaangazia mwenendo wa kesi zinazowakabili viongozi wa upinzani katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, je, ni ishara ya kuimarika kwa utawala wa sheria au kuna maswali yanay
Kenya yaanza safari ya kutafuta dira mpya, ruwaza ya 2030 ikielekea kufika ukomo
Kenya yaanza safari ya kutafuta dira mpya, ruwaza ya 2030 ikielekea kufika ukomo août 21, 2026 00:09:59 Kenya imeanza safari ya kutafuta dira mpya ya maendeleo baada ya Ruwaza ya Taifa ya Maendeleo 2030 kuelekea kufikia ukomo wake. Safari hii inakuja wakati Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC, ikiwa na dira yake ya pamoja ya mwaka 2050, inayolenga kujenga ukanda wenye uchumi shindani, miundombinu iliyounganishwa, viwanda, biashara, ajira na maendeleo ya watu. 
Tanzania: Nanenane imebaki maonesho ya kilimo au imegeuka soko la biashara?
Tanzania: Nanenane imebaki maonesho ya kilimo au imegeuka soko la biashara? août 12, 2026 00:09:59 Tunaangazia mjadala kuhusu mustakabali wa maonesho ya nanenane nchini Tanzania. Je yaendelee kuwa jukwaa la teknolojia za kilimo pekee au yafungue milango kwa biashara zote?
Safari ya Tohara ya kitabibu kutoka mila hadi afya ya umma
Safari ya Tohara ya kitabibu kutoka mila hadi afya ya umma août 1, 2026 00:09:59 Katika Makala ya wiki hii, tunaangazia safari ya Tohara ya kitabibu kutoka mila hadi afya ya umma.
Mazungumzo ya kitaifa yanaweza kuponya majeraha ya DRC?
Mazungumzo ya kitaifa yanaweza kuponya majeraha ya DRC? juil. 24, 2026 00:09:59 Katika Makala ya Afrika Mashariki, tunaangazia mchakato wa mazungumzo ya kitaifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, nafasi ya viongozi wa dini na matarajio ya wadau wa kisiasa katika kutafuta amani na maridhiano ya kudumu.
CCM  na ACT-Wazalendo vimesaini makubaliano mapya ya maridhiano.
CCM na ACT-Wazalendo vimesaini makubaliano mapya ya maridhiano. juil. 15, 2026 00:09:58 Baada ya mvutano wa kisiasa uliojitokeza mara baada ya uchaguzi mkuu uliopita huko Zanzibar, sasa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo vimesaini makubaliano mapya ya maridhiano. Lakini je, makubaliano hayo yatafungua ukurasa mpya wa demokrasia, au ni hatua ya kujenga utulivu kuelekea uchaguzi ujao? Makubaliano hayo yaliyosainiwa Julai 9, 2026 yanajumuisha mapitio ya Katiba, mageuzi ya uchagu
Hali ya  Ziwa Victoria na changamoto zinazolikabili
Hali ya Ziwa Victoria na changamoto zinazolikabili mai 30, 2026 00:09:59 Tunaangazia hali ya Ziwa Victoria, changamoto zinazolikabili pamoja na juhudi za kikanda zinazofanyika kulinusuru ziwa hilo ambalo ni mhimili wa uchumi na maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki. Ziwa Victoria, ambalo ni tegemeo la mamilioni ya wananchi wa Afrika Mashariki, linaendelea kukumbwa na changamoto kubwa za mazingira, uvuvi haramu na uchafuzi wa maji. Ripoti mpya ya mwaka 2025 imeonya kuw
Tanzania: Ripoti ya Tume ya uchunguzi kuhusu vurugu za uchaguzi mkuu wa Oktoba
Tanzania: Ripoti ya Tume ya uchunguzi kuhusu vurugu za uchaguzi mkuu wa Oktoba mai 2, 2026 00:09:59 Makala ya Afrika Mashariki, ikiangazia juu ya ripoti ya Tume ya uchunguzi wa matukio ya wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa October 29, 2025 nchini Tanzania.
Kumbukizi ya miaka 32 ya mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994
Kumbukizi ya miaka 32 ya mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 avr. 11, 2026 00:09:59 April 7, 1994 ni siku ya ambayo historia ya Rwanda ilianadikwa kwa wino mwekundu kumaanisha hatari, kifo cha Rais zamani wa Taifa hilo Juvenal Habyarimana aliuawa akitokea nchini Tanzania katika mchakato wa kusaka amani nchini Rwanda, baada ya waasi wa kundi la RPF wakati huo, ambalo kwa sasa ni chama kilichopo madarakani, kuanzisha vita dhidi ya serikali ya Juvenal Habyarimana, wakimtuhumu kuwate
Kasi na mapokeo ya ueneaji wa akili mnemba barani Afrika
Kasi na mapokeo ya ueneaji wa akili mnemba barani Afrika avr. 11, 2025 00:09:58 Karibu katika ya Afrika mashariki hii leo macho na masikio ya Makala haya yanatazama kasi na mapokeo ya ueneaji wa akili mnemba barani Afrika tukienega katika Mkutano wa Kimataifa wa AI kuhusu Afrika 2025, unaofanyika Kigali nchini Rwanda Mwandalizi na  msimulizi wako naitwa Martin Nyoni nasema karibu tuwe soote hadi tamati 
Je una ufahamu juu ya ulinzi wa taarifa binafsi ?
Je una ufahamu juu ya ulinzi wa taarifa binafsi ? avr. 5, 2025 00:09:59 Kasi ya ugunduzi na uvumbuzi katika maswala ya sayansi na teknolojia na ujio wa Internet sanjali na matumzi ya mitandao ya kijamii yanafanya wajamii kuwa katika hatari kumbwa kupoteza usiri wa taarifa zao.  Baada ya mabadiliko makubwa ya teknolojia yamesababisha taarifa za watu kuwa ni moja ya mtaji mkubwa kwa watu wengine na makampuni makubwa Tanzania kama yalivyo mataifa mengine ya Afrika mashar
Tatizo la kifua kikuu (TB) katika mataifa ya Afrika Mashariki
Tatizo la kifua kikuu (TB) katika mataifa ya Afrika Mashariki mars 29, 2025 00:09:59 Maambukizi ya kifua kikuu yanaweza kuenezwa kwa urahisi katika miji mikubwa na maeneo ya umma ambapo kuna mkusanyiko mkubwa wa watu, kama vile vituo vya mabasi, masoko, na hata sehemu za kazi kama waendesha bodaboda wanavyojihusisha.   Msikilizaji wa RFI Kiswahili karibu katika Makala ya Afrika mashariki hii leo tunatuwana kuangaza namna waendesha bodaboda wanaweza kuchukua tahadhari ya kupambana

Recommandé